iqna

IQNA

Sultan Haitham bin Tariq
Kiongozi Muadhamu katika Mkutano na Sultani wa Oman
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei alisema siku ya Jumatatu kuwa Iran na Oman zitanufaika kutokana na ushirikiano wa karibu wa pande mbili.
Habari ID: 3477067    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/29